Friday, December 10, 2010

Mkutano wa kukabili uharamia


Waziri ya Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha (kushoto) akikaribishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP , Saidi Ali Mwema leo asubuhi katika hoteli ya Moven Pick Hotel wakati wa ufunguzi wa programu ya mkutano wa kanda wa wakuu wa polisi kuzungumzia suala la uharamia. kulia ni Kamishna wa Polisi , Paul Chagonja. (picha na Hassan Mndeme- Police Force).



No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...