Friday, December 10, 2010

Mkutano wa kukabili uharamia


Waziri ya Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha (kushoto) akikaribishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP , Saidi Ali Mwema leo asubuhi katika hoteli ya Moven Pick Hotel wakati wa ufunguzi wa programu ya mkutano wa kanda wa wakuu wa polisi kuzungumzia suala la uharamia. kulia ni Kamishna wa Polisi , Paul Chagonja. (picha na Hassan Mndeme- Police Force).



No comments: