Friday, October 15, 2010

JK ahitimisha kilele mbio za mwenge


kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu 2010 Dr.Nassoro Ally Matuzya akimkabidhi mwenge wa Uhuru Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe za kilele cha mbio hizo kilichofanyika katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika mjini Kigoma leo mchana.

1 comment:

emu-three said...

Oh, mwenge ni moja ya kumbukumbu za kumuenzi baba wa taifa, ni ishara fulani ya `ushindi' na `umoja', je historia ya mwenge inaanzia wapi, na kwanini ikawa mwenge?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...