Tuesday, October 12, 2010

Mmea huu una jina hiloooo


Mimea hii hupatikana sana katika maeneo yenye hali ya hewa ya jangwa hususani maeneo ya mkoa wa Shinyanga na mengine yenye sifa kama mkoa huo, majani yake huwa ni mapana na ina matunda yanayofanana na mambo fulani hivi, wataalamu wanasema ni dawa ya magonjwa kadhaa jina lake la kisayansi au botanical name ni Calotropis procera kiswahili chake Mpumbula

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...