Tuesday, October 12, 2010

Mmea huu una jina hiloooo


Mimea hii hupatikana sana katika maeneo yenye hali ya hewa ya jangwa hususani maeneo ya mkoa wa Shinyanga na mengine yenye sifa kama mkoa huo, majani yake huwa ni mapana na ina matunda yanayofanana na mambo fulani hivi, wataalamu wanasema ni dawa ya magonjwa kadhaa jina lake la kisayansi au botanical name ni Calotropis procera kiswahili chake Mpumbula

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...