Tuesday, October 12, 2010

Mmea huu una jina hiloooo


Mimea hii hupatikana sana katika maeneo yenye hali ya hewa ya jangwa hususani maeneo ya mkoa wa Shinyanga na mengine yenye sifa kama mkoa huo, majani yake huwa ni mapana na ina matunda yanayofanana na mambo fulani hivi, wataalamu wanasema ni dawa ya magonjwa kadhaa jina lake la kisayansi au botanical name ni Calotropis procera kiswahili chake Mpumbula

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...