Monday, October 25, 2010

Jeshi la Kenya wamshukuru Mungu


Kikosi cha Misitu pamoja na familia zao wakiingia katika kanisa la Romani Catholic upande wa the holy family Minor Basilica kwaajili ya kuanza ibada ya shukrani kwa Mungu iliyofanywa jana na askari Polisi na familia zao nchini Kenya.

Rais Mwai kibaki akikata keki baada ya kumalizika kwa ibada ya shukrani kwa Mwenyezi Mungu iliyofanywa jana na askari Polisi wa Kenya pamoja na familia zao katika kanisa la Roman Catholic upande wa the holy family Minor Basilica huku Askofu wa kanisa hilo pamoja na makamanda wa Jeshi hilo wakishuhudia. Picha zote na Anna Nkinda - Nairobi.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...