Tuesday, October 19, 2010

Mwenyekiti wa wazee ajisalimisha



Mwenyekiti wa wazee waliokua wafanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Nathaniel Mlaki akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam baada ya kujisalimisha katika ofisi ya kamanda wa Kanda maalum, Suleiman Kova (kulia). Ndugu Mlaki alitakiwa kujisalimisha baada ya kutoa taarifa za uongo kwenye vyombo vya habari za kufa kwa mzee mwenzao, Anderson Msuta wakati wazee hao walipofunga barabara ya kivukoni na kuondolewa na polisi. Mzee Msuta alijitokeza juzi na kukanusha uvumi wa kufa kwake.( Picha Na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi).

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...