Friday, September 29, 2017

ZIARA YA MJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI WA NHC KATIKA JENGO LA UBIA -MWANZA



Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Injini Kesogukewele Msita akijadiliana jambo na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza Injinia Benedict Kilimba alipokuwa akikagua Jengo la ubia katika kiwanja Na 94/S Mtaa wa Nyerere jijini Mwanza linavyoonekana. Jengo hilo limepewa jina la SEIF PLAZA kwa kuwa mbia wa NHC anaitwa Mr. Seif.
 Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Injini Kesogukewele Msita akijadiliana jambo na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza Injinia Benedict Kilimba alipokuwa akikagua Jengo la ubia katika kiwanja Na 94/S Mtaa wa Nyerere jijini Mwanza linavyoonekana. Jengo hilo limepewa jina la SEIF PLAZA kwa kuwa mbia wa NHC anaitwa Mr. Seif.
Jengo hilo limepewa jina la SEIF PLAZA kwa kuwa mbia wa NHC anaitwa Mr. Seif.

Injinia Msita akipokea maelezo kutoka kwa Mbia aliyejenga jengo hilo Mr .Seif ndani ya duka lake linalouza vifaa vya ujenzi.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...