Thursday, September 21, 2017

WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI WILAYA YA NAMTUMBO MKOANI RUVUMA


Watu wa wili wamefariki dunia katika ajali ya gari aina ya loli lenye namba za usajili T782 CMC katika kijiji cha Utwango. Barabara ya Songea – Namtumbo . Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma. Waliofariki ni dereva wa Gari hilo ambaye bado hajafahamika jina lake mwingine ni kondakta wa gari hilo aliyejulikana kwa jina la Abiud Daudi


No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...