Thursday, September 21, 2017

WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI WILAYA YA NAMTUMBO MKOANI RUVUMA


Watu wa wili wamefariki dunia katika ajali ya gari aina ya loli lenye namba za usajili T782 CMC katika kijiji cha Utwango. Barabara ya Songea – Namtumbo . Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma. Waliofariki ni dereva wa Gari hilo ambaye bado hajafahamika jina lake mwingine ni kondakta wa gari hilo aliyejulikana kwa jina la Abiud Daudi


No comments:

TANZANIA YAWAVUTIA WAWEKEZAJI SEKTA YA UCHUKUZI AFRIKA KUSINI

  Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile , ameipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa wa Uchukuzi (NCT) uliofany...