Monday, September 25, 2017

MWILI WA MAREHEMU PRAIVETI MUSSA JUMANNE WAAGWA HOSPITALI KUU YA JESHI LUGALO

 
 Askari wa JWTZ wakibeba Jeneza la mwili wa marehemu Praiveti Mussa Jumanne Muryery tayari kwa safari ya kuelekea Dodoma kwa ajili ya mazishi. Mwili wa Marehemu uliagwa leo katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Rais Samia Aongoza Wito wa Amani na Upendo kuelekea Uchaguzi Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wageni waalikwa waliohudh...