Monday, September 25, 2017

MWILI WA MAREHEMU PRAIVETI MUSSA JUMANNE WAAGWA HOSPITALI KUU YA JESHI LUGALO

 
 Askari wa JWTZ wakibeba Jeneza la mwili wa marehemu Praiveti Mussa Jumanne Muryery tayari kwa safari ya kuelekea Dodoma kwa ajili ya mazishi. Mwili wa Marehemu uliagwa leo katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...