Friday, September 08, 2017

WAZIRI LUKUVI AZINDUA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NHC CHATO

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akiwasili eneo la mradi wa Nyumba za NHC Chato. Mradi una Nyumba 20 zenye Nyumba vitatu kila moja.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akiwasili eneo la mradi wa Nyumba za NHC Chato. Mradi una Nyumba 20 zenye Nyumba vitatu kila moja.

Mradi wa Nyumba za NHC Chato. Mradi una Nyumba 20 zenye Nyumba vitatu kila moja

Waziri Lukuvi akishereheka kwa pamoja na wananchi wa Chato alipowasili eneo la mradi.

Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu akiwahutubia wananchi wakati wa Uzinduzi.

No comments:

WAZIRI MKUU ACHUKIZWA NA MIGOGORO YA ARDHI

Awasisitiza watendaji kuwafuata wananchi na kutatua kero zinazowakabili WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasisitiza Mawaziri, Wakuu wa M...