Thursday, September 28, 2017

WATEJA WA CBA BENKI WAENDELEA KUNUFAIKA NA PROMOSHENI YA"WEKA AMANA USHINDE"

  Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki wa Benki ya CBA kwa wateja binafsi, Julius Konyani, akizungumza na waandishi wa habari, wakati wa kuchezeshwa droo ya tatu ya ya promosheni ya akiba inayojulikana kama ‘Weka amana ushinde’ zaidi ya milioni 20 zinaendelea kushindaniwa na wateja wa benki hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Abdallah Hemedi na kushoto ni Mkuu wa Mauzo na Mahusiano ya Kibenki wa CBA, Godson Biyengo.
 Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki wa Benki ya CBA kwa wateja binafsi, Julius Konyani, akibonyeza kitufe cha kompyuta kwa ajili ya kuchezesha droo ya kuwapata washindi wa promosheni ya akiba inayojulikana kama ‘Weka amana ushinde’ zaidi ya milioni 20 zinaendelea kushindaniwa na wateja wa benki hiyo , Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Abdallah Hemedi na kushoto ni Mkuu wa Mauzo na Mahusiano ya Kibenki wa CBA, Godson Biyengo.
 Mkuu wa Mauzo na Mahusiano ya Kibenki wa CBA, Godson Biyengo, akimuonesha Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki wa Benki ya CBA kwa wateja binafsi, Julius Konyani (katikati) na Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Abdallah Hemedi, mshindi wa droo ya tatu ya ya promosheni ya akiba inayojulikana kama ‘Weka amana ushinde’ zaidi ya milioni 20 zitashindaniwa na wateja wa benki hiyo, mara baada ya kuchezeshwa, Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Idara ya Huduma za Kibenki wa Benki ya CBA kwa wateja binafsi, Julius Konyani, akizungumza na mmoja wa washindi aliyejishindia kitita cha shilingi Milioni 2/- kwenye droo ya tatu ya ya promosheni ya akiba inayojulikana kama ‘Weka amana ushinde’ zaidi ya milioni 20 zinashindaniwa na wateja wa benki hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Abdallah Hemedi na kushoto ni Mkuu wa Mauzo na Mahusiano ya Kibenki wa CBA, Godson Biyengo.

No comments: