Friday, January 20, 2017

WAZIRI UMMY ATEMBELEA KITUO CHA AFYA BUGURUNI


 Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amembelea kituo cha afya Buguruni akiwa na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Hermann pamoja na Mkuu wa Wilaya Bi. Sophia Mjema. Lengo la ziara hiyo ni kufuatilia utoaji wa huduma za Afya katika Vituo vinavyomilikiwa na Serikali. Demnark ni mmoja wa Wafadhili wakubwa wa Sekta ya Afya nchini kupitia Mfuko wa Afya wa Pamoja (Health Basket Fund). Picha Kwa Hisani ya Wizara ya Afya

No comments: