Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amembelea kituo cha afya Buguruni akiwa na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Hermann pamoja na Mkuu wa Wilaya Bi. Sophia Mjema. Lengo la ziara hiyo ni kufuatilia utoaji wa huduma za Afya katika Vituo vinavyomilikiwa na Serikali. Demnark ni mmoja wa Wafadhili wakubwa wa Sekta ya Afya nchini kupitia Mfuko wa Afya wa Pamoja (Health Basket Fund). Picha Kwa Hisani ya Wizara ya Afya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment