Thursday, January 19, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA KITUO CHA KUZALISHA UMEME MTERA

Gari lililombeba  Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa likipita kwenye daraja la bwawa la kuzalisha umeme  Kituocha Kuzalisha Umeme cha  Mtera kwenye mpaka wa mkowa Dodoma na Iringa  Januari 19, 2017. Mheshimiwa Majaliwa alifanya ziara fupi  ya kukagua kina cha maji kwenye bwawa hilo . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO)  katika bwawa la Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Mtera lililoko kwenye mpaka wa  mkoa wa Dodoma na Iringa wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua kina cha maji kwenye bwawa hilo  Januari 19, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akipata maelezo kuhusu kina cha maji kwenye bwawa la  Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Mtera lililoko kwenye mpaka wa mkoa wa Dodoma na Iringa  wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua kina cha maji kwenye bwawa hilo Januari  19, 2017.  Kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua kina cha maji kwenye bwawa la  Kituo cha kuzalisha Umeme cha Mtera lililoko kwenye mpaka wa mkoa wa Dodoma na Iringa Januari 19, 2017.   Kushoto ni Kaiu Meneja wa Kituo hicho,  Mhandisi Edmund Seif. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kina cha maji kwenye bwawa la  Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Mtera  lililoko  kwenye  mpaka wa mkoa wa Iringa na Dodoma  wakati alipokwenda kukagua kina cha maji kwenye bwawa hilo Januari  19, 2017.

No comments: