Sunday, August 24, 2008

Sherehe za birthday ya Mandela





Mke wa sasa Nelson Mandela, Mama Graca Machel (kushoto) akimpiga busu mke wa zamani wa Mandela, Winnie Mandela (kulia), kwenye sherehe za kusherekea birthday ya 90 ya mume wao. Naona wanapatana vizuri tu. Je, wana-share siri za kumfurahisha mzee?

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MPYA WA UHISPANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 6 Agosti 2025, amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi...