Friday, August 15, 2008

Barabara ya Mandela


Fundi wa shirika la umeme nchini (TANESCO) Josiah James akichimba shmo jipya la kuweka nguzo ili kupisha upanuzi wa barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam hivi karibuni hakika mkandarasi aliyekabidhiwa barabara hii anaonekana ni mtaalamu wa kujenga mitaro, maana wameanza na mitaro kibaooo.Picha na Zacharia Osanga

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...