Fundi wa shirika la umeme nchini (TANESCO) Josiah James akichimba shmo jipya la kuweka nguzo ili kupisha upanuzi wa barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam hivi karibuni hakika mkandarasi aliyekabidhiwa barabara hii anaonekana ni mtaalamu wa kujenga mitaro, maana wameanza na mitaro kibaooo.Picha na Zacharia Osanga
Friday, August 15, 2008
Barabara ya Mandela
Fundi wa shirika la umeme nchini (TANESCO) Josiah James akichimba shmo jipya la kuweka nguzo ili kupisha upanuzi wa barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam hivi karibuni hakika mkandarasi aliyekabidhiwa barabara hii anaonekana ni mtaalamu wa kujenga mitaro, maana wameanza na mitaro kibaooo.Picha na Zacharia Osanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment