Friday, August 15, 2008

Barabara ya Mandela


Fundi wa shirika la umeme nchini (TANESCO) Josiah James akichimba shmo jipya la kuweka nguzo ili kupisha upanuzi wa barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam hivi karibuni hakika mkandarasi aliyekabidhiwa barabara hii anaonekana ni mtaalamu wa kujenga mitaro, maana wameanza na mitaro kibaooo.Picha na Zacharia Osanga

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI DUA MAALUM KUMUENZI HAYATI KARUME, MIAKA 54 BAADA YA KUUAWA KWAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan , jana tarehe 07 Aprili 2026 aliungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananch...