Friday, August 22, 2008

Mtoto wa Rais Kikwete Afunga Ndoa


Rais Jakaya Kikwete akimuaga mkwewe Bi.Arafa Mohamed pamoja na mtoto wake Ridhwani Kikwete muda mfupi baada ya mtoto wake kufunga ndoa na Bi Arafa katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo majira ya alasiri kuelekea Magharibi.

Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhwani Kikwete(Kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na Mkewe Bi Arafa Muda mfupi baada ya Ridhwani kufunga ndoa katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo hii Majira ya alasiri Kuelekea Magharibi.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI DUA MAALUM KUMUENZI HAYATI KARUME, MIAKA 54 BAADA YA KUUAWA KWAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan , jana tarehe 07 Aprili 2026 aliungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananch...