Friday, August 22, 2008

Mtoto wa Rais Kikwete Afunga Ndoa


Rais Jakaya Kikwete akimuaga mkwewe Bi.Arafa Mohamed pamoja na mtoto wake Ridhwani Kikwete muda mfupi baada ya mtoto wake kufunga ndoa na Bi Arafa katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo majira ya alasiri kuelekea Magharibi.

Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhwani Kikwete(Kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na Mkewe Bi Arafa Muda mfupi baada ya Ridhwani kufunga ndoa katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo hii Majira ya alasiri Kuelekea Magharibi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...