Sunday, August 10, 2008

Usafiri Dar


Hebu cheki Dar es salaam kila mtu yuko bize, kila mtu na jambo lake kila mtu anatafuta pesa, hata hivyo wapo baadhi wanafuatilia mambo ya watu, hapa ni kati kati ya jiji kila mtu anahangaikia usafiri sijui mwenzangu msomaji una maoni gani

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...