Sunday, August 10, 2008

Usafiri Dar


Hebu cheki Dar es salaam kila mtu yuko bize, kila mtu na jambo lake kila mtu anatafuta pesa, hata hivyo wapo baadhi wanafuatilia mambo ya watu, hapa ni kati kati ya jiji kila mtu anahangaikia usafiri sijui mwenzangu msomaji una maoni gani

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...