
Hebu cheki Dar es salaam kila mtu yuko bize, kila mtu na jambo lake kila mtu anatafuta pesa, hata hivyo wapo baadhi wanafuatilia mambo ya watu, hapa ni kati kati ya jiji kila mtu anahangaikia usafiri sijui mwenzangu msomaji una maoni gani
Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga, kwa lengo la kuwawezesh...
No comments:
Post a Comment