Wednesday, August 20, 2008

Bweni laungua


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Bigwa inayomilikiwa na Masista wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro,wakiangalia baadhi ya vitu vyao vilivyoungua moto uliotokea jana na kuunguza mabweni mawili ya Shule hiyo.Picha na Mdau John Nditi/TSN Morogoro.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...