Sunday, August 03, 2008

Nasreem Karim Miss Vodacom


Miss Vodacom Tanzania 2008 nasreem Karim akifurahia ushindi na mshindi wa pili Sylvia Mashuda(shoto) na wa Tatu Pendo Laizer muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Taji hilo kwa Mwaka huu.

Hawa jamaa Wazee wa Ngwasuma wakisakata rhumba



Braza Chammeleone naye alikuwapo



Hawa hapa wakaingia Top Five





Twanga nao walikuwapo



Hebu cheki walivyopendeza




No comments: