Sunday, August 03, 2008

Nasreem Karim Miss Vodacom


Miss Vodacom Tanzania 2008 Nasreem Karim akifurahia ushindi na mshindi wa pili Sylvia Mashuda (shoto) na wa Tatu Pendo Laizer muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Taji hilo kwa Mwaka huu.

Hawa jamaa Wazee wa Ngwasuma wakisakata rhumba



Braza Chammeleone naye alikuwapo


Hawa hapa wakaingia Top Five

Twanga nao walikuwapo

Hebu cheki walivyopendeza




No comments:

DKT.JAFO AWEZESHA ELIMU YA UFUNDI, AKABIDHI VYEREHANI VINNE CHUO CHA FDC KISARAWE-MZENGA

  Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga, kwa lengo la kuwawezesh...