Sunday, August 03, 2008

Nasreem Karim Miss Vodacom


Miss Vodacom Tanzania 2008 Nasreem Karim akifurahia ushindi na mshindi wa pili Sylvia Mashuda (shoto) na wa Tatu Pendo Laizer muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Taji hilo kwa Mwaka huu.

Hawa jamaa Wazee wa Ngwasuma wakisakata rhumba



Braza Chammeleone naye alikuwapo


Hawa hapa wakaingia Top Five

Twanga nao walikuwapo

Hebu cheki walivyopendeza




No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...