Saturday, June 23, 2007

Mlima Meru uleee



Hapa ni karibu kabisa na njia panda ya kuelekea Sanawari, Arusha ndipo unapoweza kuona kwa mbaali Mlima Meru ambao ni mkubwa kiasi unapamba mandhari ya jiji la Arusha.

1 comment:

Anonymous said...

hey, yaani nimefurahi sana kuona pic hizi maana zinanikumbusha arusha sana, endelea kutupa pic za arusha, hasa sisi tunaotokea arusha.peace!!!!!!!!

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. PHILIP MPANGO AONGOZA KIKAO CHA 15 CHA KAMATI YA PAMOJA YA MASUALA YA MUUNGANO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameongoza Kikao cha 15 cha Kamati ya Pamoja kati ya Serikali ya ...