Saturday, June 23, 2007

Mlima Meru uleee



Hapa ni karibu kabisa na njia panda ya kuelekea Sanawari, Arusha ndipo unapoweza kuona kwa mbaali Mlima Meru ambao ni mkubwa kiasi unapamba mandhari ya jiji la Arusha.

1 comment:

Anonymous said...

hey, yaani nimefurahi sana kuona pic hizi maana zinanikumbusha arusha sana, endelea kutupa pic za arusha, hasa sisi tunaotokea arusha.peace!!!!!!!!

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA LONDON, UINGEREZA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Commonwealth of Nations, Shirley Botc...