Saturday, June 23, 2007

Mlima Meru uleee



Hapa ni karibu kabisa na njia panda ya kuelekea Sanawari, Arusha ndipo unapoweza kuona kwa mbaali Mlima Meru ambao ni mkubwa kiasi unapamba mandhari ya jiji la Arusha.

1 comment:

Anonymous said...

hey, yaani nimefurahi sana kuona pic hizi maana zinanikumbusha arusha sana, endelea kutupa pic za arusha, hasa sisi tunaotokea arusha.peace!!!!!!!!

RAIS DKT. SAMIA AMUAPISHA DKT. MWIGULU KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika hafla yenye utofauti, heshima na hamasa mpya kwa Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , leo ...