Saturday, June 23, 2007

Mlima Meru uleee



Hapa ni karibu kabisa na njia panda ya kuelekea Sanawari, Arusha ndipo unapoweza kuona kwa mbaali Mlima Meru ambao ni mkubwa kiasi unapamba mandhari ya jiji la Arusha.

1 comment:

Anonymous said...

hey, yaani nimefurahi sana kuona pic hizi maana zinanikumbusha arusha sana, endelea kutupa pic za arusha, hasa sisi tunaotokea arusha.peace!!!!!!!!

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...