Safari za basi siku hizi bwana zinatisha, lakini hatuna njia walala hoi lazima tusafiri na usafiri wetu ni mabasi kwani hamjasikia kejeli za Waziri Andrew Chenge alipotoa maoni yake alionekana kuponda yaani anaona usafiri wa basi ni usafiri wa hovyo mno, any way hata ndege za bongo ni yale yale tu.
Saturday, June 16, 2007
Safari ya Arusha
Safari za basi siku hizi bwana zinatisha, lakini hatuna njia walala hoi lazima tusafiri na usafiri wetu ni mabasi kwani hamjasikia kejeli za Waziri Andrew Chenge alipotoa maoni yake alionekana kuponda yaani anaona usafiri wa basi ni usafiri wa hovyo mno, any way hata ndege za bongo ni yale yale tu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)
. Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment