Saturday, June 16, 2007

Safari ya Arusha



Safari za basi siku hizi bwana zinatisha, lakini hatuna njia walala hoi lazima tusafiri na usafiri wetu ni mabasi kwani hamjasikia kejeli za Waziri Andrew Chenge alipotoa maoni yake alionekana kuponda yaani anaona usafiri wa basi ni usafiri wa hovyo mno, any way hata ndege za bongo ni yale yale tu.

No comments: