Saturday, June 16, 2007

Miwaa



Wafanyabiashara wadogo wakikokota baiskeli zao zilizosheheni miwa kuelekea kuliko na wateja. Miwa ni chanzo kikubwa cha nishati mbalimbali ikiwamo ya umeme tunaitumiaje?

No comments:

RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...