Saturday, June 23, 2007

Watoto wa Tanzania



Watoto wa Tanzania miongoni mwao wakiwa hawa wamewekewa mkakati gani wa kuwafanya waishi katika usawa bila ubaguzi, bila matabaka kama tulivyokuwa wazazi wao. Hivi sasa mali zote zinauzwa si misitu, madini yetu yote na kila rasilimali ipo siku watoto hawa wenye taifa lao watakuja kuuliza hivi wazazi tulikuwa wapi?

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...