Saturday, June 23, 2007

Watoto wa Tanzania



Watoto wa Tanzania miongoni mwao wakiwa hawa wamewekewa mkakati gani wa kuwafanya waishi katika usawa bila ubaguzi, bila matabaka kama tulivyokuwa wazazi wao. Hivi sasa mali zote zinauzwa si misitu, madini yetu yote na kila rasilimali ipo siku watoto hawa wenye taifa lao watakuja kuuliza hivi wazazi tulikuwa wapi?

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...