Saturday, June 16, 2007

Ugali

1 comment:

John Mwaipopo said...

Mzee wa Mshitu picha hii hakika haiitaji maelezo yoyote yawayo. yatosha. mambo ya nguna hayo, mmetoka kulima mchana mna njaa kali na kiu kisha mwakutana na mguna kama hili. Kule kwetu Mbeya tunakula na jmchanganyiko wa nguniani (majani ya maharage) na maharage mabichi. Ndani kuwe kumewekwa tui la karanga. Yaani We acha tu!!!!

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...