Saturday, June 16, 2007

Ugali

1 comment:

John Mwaipopo said...

Mzee wa Mshitu picha hii hakika haiitaji maelezo yoyote yawayo. yatosha. mambo ya nguna hayo, mmetoka kulima mchana mna njaa kali na kiu kisha mwakutana na mguna kama hili. Kule kwetu Mbeya tunakula na jmchanganyiko wa nguniani (majani ya maharage) na maharage mabichi. Ndani kuwe kumewekwa tui la karanga. Yaani We acha tu!!!!

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...