Saturday, June 23, 2007

Mnara wa Saa A Town



Hapa ni katikati ya jiji la Arusha maarufu kama A Town au wengine wanapaita Geneva ya Afrika mji sasa umechangamka ni matata kweli kweli, utalii umelifanya jiji kuwa hai.

MRADI WA TACTIC KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI MWANZA

  * Sekta ya uvuvi nayo yaguswa. Mwanza.  Ujenzi wa Barabara ya Buhongwa-Igoma yenye urefu wa Km 14 kwa kiwango cha lami inayojengwa katik...