Saturday, June 23, 2007

Mnara wa Saa A Town



Hapa ni katikati ya jiji la Arusha maarufu kama A Town au wengine wanapaita Geneva ya Afrika mji sasa umechangamka ni matata kweli kweli, utalii umelifanya jiji kuwa hai.

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...