Saturday, June 23, 2007

KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO (AICC)

Hapa ndipo yalipokuwa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa ni kituo cha mikutano na kuna Makao Makuu ya Mahakama ya Kimataifa ya Rwanda (ICTR), ukumbi wa Bunge la Afrika Mashariki na ofisi nyingine kibao.

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...