Hii ni sehemu ya barabara ya Mbinga - Mbambabay kama ilivyoshuhudiwa na mdau wetu aliyepita maeneo hayo juzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MSAJILI HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI UJENZI MGODI WA MADINI KINYWE
Na Mwandishi wa OMH Mahenge, Morogoro. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
4 comments:
Maisha bora kwa kila mtanzania.
Raha kweli kweli...na kweli maisha bora kwa kila mtanzania, hii ni miaka ya mtu ya uhuru...we're still in that way!
Najiuliza hivi hizo miundombinu za mkoloni zikiisha kabisa tutakuwaje...hebu angalia TAZARA walivyochonga, hivi sisi tumewahi kuchonga kama hivyo...sie kucopy and paste
Raha kweli kweli...na kweli maisha bora kwa kila mtanzania, hii ni miaka ya mtu ya uhuru...we're still in that way!
Najiuliza hivi hizo miundombinu za mkoloni zikiisha kabisa tutakuwaje...hebu angalia TAZARA walivyochonga, hivi sisi tumewahi kuchonga kama hivyo...sie kucopy and paste
Msijali, miaka thelathini na zaidi ya uhuru si kitu, lami itamwagwa ndani ya miaka miwili tu,ndani ya Mh. askari kasimama mlangoni.
Post a Comment