Tuesday, February 22, 2011

Mmomonyoko wa barabara Zenji


Wahenga walisema usipoziba ufa utajenga ukuta, pichani ni uchakavu wa ukingo wa bahari unaotishia kufunga barabara kuu kutoka Forodhani hadi bandarini mjini Zanzibar ambapo hivi sasa shimo kubwa limejitokeza juu ya barabara hiyo kiasi cha kuyafanya magari kupita eneo hilo kwa shida. Picha na Martin Kabemba.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...