Tuesday, February 22, 2011

Mmomonyoko wa barabara Zenji


Wahenga walisema usipoziba ufa utajenga ukuta, pichani ni uchakavu wa ukingo wa bahari unaotishia kufunga barabara kuu kutoka Forodhani hadi bandarini mjini Zanzibar ambapo hivi sasa shimo kubwa limejitokeza juu ya barabara hiyo kiasi cha kuyafanya magari kupita eneo hilo kwa shida. Picha na Martin Kabemba.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...