Wahenga walisema usipoziba ufa utajenga ukuta, pichani ni uchakavu wa ukingo wa bahari unaotishia kufunga barabara kuu kutoka Forodhani hadi bandarini mjini Zanzibar ambapo hivi sasa shimo kubwa limejitokeza juu ya barabara hiyo kiasi cha kuyafanya magari kupita eneo hilo kwa shida. Picha na Martin Kabemba.
Tuesday, February 22, 2011
Mmomonyoko wa barabara Zenji
Wahenga walisema usipoziba ufa utajenga ukuta, pichani ni uchakavu wa ukingo wa bahari unaotishia kufunga barabara kuu kutoka Forodhani hadi bandarini mjini Zanzibar ambapo hivi sasa shimo kubwa limejitokeza juu ya barabara hiyo kiasi cha kuyafanya magari kupita eneo hilo kwa shida. Picha na Martin Kabemba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IRENA
📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali i...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment