Monday, February 21, 2011

Wake za viongozi wawatakia


Me wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda na mke wa waziri mkuu mstaafu Rejina Lowasa wakimjulia hali mgonjwa Mwajuma Jumanne miaka 25 mkazi wa Gongo la Mboto ambaye ameumia paja katika milipuko ya mabomu ya Gongo la Mboto wiki iliyopita. Picha naOfisi ya Waziri Mkuu.


Mke wa Waziri wa Ulinzi, Mariam Mwinyi ambaye ni miongoni mwa wake waviongozi akitoa pole kwa mwathirika wa mabomu Gongo la Mboto katika Hospital ya Amana.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...