Monday, February 21, 2011

Wake za viongozi wawatakia


Me wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda na mke wa waziri mkuu mstaafu Rejina Lowasa wakimjulia hali mgonjwa Mwajuma Jumanne miaka 25 mkazi wa Gongo la Mboto ambaye ameumia paja katika milipuko ya mabomu ya Gongo la Mboto wiki iliyopita. Picha naOfisi ya Waziri Mkuu.


Mke wa Waziri wa Ulinzi, Mariam Mwinyi ambaye ni miongoni mwa wake waviongozi akitoa pole kwa mwathirika wa mabomu Gongo la Mboto katika Hospital ya Amana.

No comments:

UWEKEZAJI USAFIRI KANDA YA ZIWA KUCHOCHEA UCHUMI, WAWEKEZAJI WAHIMIZWA KUTUMIA FURSA

  Na Baltazar Mashaka, Mwanza Serikali imesema uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa katika sekta ya usafiri na usafirishaji Kanda ya Ziwa...