Monday, February 21, 2011

Wake za viongozi wawatakia


Me wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda na mke wa waziri mkuu mstaafu Rejina Lowasa wakimjulia hali mgonjwa Mwajuma Jumanne miaka 25 mkazi wa Gongo la Mboto ambaye ameumia paja katika milipuko ya mabomu ya Gongo la Mboto wiki iliyopita. Picha naOfisi ya Waziri Mkuu.


Mke wa Waziri wa Ulinzi, Mariam Mwinyi ambaye ni miongoni mwa wake waviongozi akitoa pole kwa mwathirika wa mabomu Gongo la Mboto katika Hospital ya Amana.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...