Sunday, February 06, 2011

Matembezi ya Mshikamano


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakiwapungia wananchi katika matembezi ya mshikamano ya kuadhimisha miaka 34 ya CCM Mkoani Iringa yaliyofanyiak kimkoa kwenye Kijiji cha Tungamalenga wilayani Iringa Mjini jana. Wapili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Ismani, William Lukuvi na Kushoto ni Kamu Mkuu wa mkoa wa Iringa Issa Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...