Sunday, February 06, 2011

Matembezi ya Mshikamano


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakiwapungia wananchi katika matembezi ya mshikamano ya kuadhimisha miaka 34 ya CCM Mkoani Iringa yaliyofanyiak kimkoa kwenye Kijiji cha Tungamalenga wilayani Iringa Mjini jana. Wapili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Ismani, William Lukuvi na Kushoto ni Kamu Mkuu wa mkoa wa Iringa Issa Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...