Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakiwapungia wananchi katika matembezi ya mshikamano ya kuadhimisha miaka 34 ya CCM Mkoani Iringa yaliyofanyiak kimkoa kwenye Kijiji cha Tungamalenga wilayani Iringa Mjini jana. Wapili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Ismani, William Lukuvi na Kushoto ni Kamu Mkuu wa mkoa wa Iringa Issa Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Sunday, February 06, 2011
Matembezi ya Mshikamano
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakiwapungia wananchi katika matembezi ya mshikamano ya kuadhimisha miaka 34 ya CCM Mkoani Iringa yaliyofanyiak kimkoa kwenye Kijiji cha Tungamalenga wilayani Iringa Mjini jana. Wapili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Ismani, William Lukuvi na Kushoto ni Kamu Mkuu wa mkoa wa Iringa Issa Machibya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA
Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment