Sunday, February 27, 2011

BONGO FLEVA WAITUNGUA BONGO MOVIE BAO 2-0

Mshambuliaji wa kushoto wa timu ya Bongo Freva,KR Mullah akimtoka mchezaji wa timu ya Bongo Movie katika mchezo uliopigwa jioni hii katika uwanja wa Taifa.
Timu ya Bongo Movie

Timu ya Bongo Freva
Wasanii wa filamu na wale wa muziki wa Bongo Flava jana walichuana katika mpambano wa mpira wa miguu ili kuchangia waathirika wa mabomu Gongo la mboto. Bongo Movies walilala bao 2-0.

Habari zaidi waweza kubonya hapaUpate tukio hilo kwa kina.


No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...