Sunday, February 27, 2011

BONGO FLEVA WAITUNGUA BONGO MOVIE BAO 2-0

Mshambuliaji wa kushoto wa timu ya Bongo Freva,KR Mullah akimtoka mchezaji wa timu ya Bongo Movie katika mchezo uliopigwa jioni hii katika uwanja wa Taifa.
Timu ya Bongo Movie

Timu ya Bongo Freva
Wasanii wa filamu na wale wa muziki wa Bongo Flava jana walichuana katika mpambano wa mpira wa miguu ili kuchangia waathirika wa mabomu Gongo la mboto. Bongo Movies walilala bao 2-0.

Habari zaidi waweza kubonya hapaUpate tukio hilo kwa kina.


No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...