Hii ni sehemu ya barabara ya Mbinga - Mbambabay kama ilivyoshuhudiwa na mdau wetu aliyepita maeneo hayo juzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AMUAPISHA DKT. JOHN ANTHONY JINGU KUWA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
4 comments:
Maisha bora kwa kila mtanzania.
Raha kweli kweli...na kweli maisha bora kwa kila mtanzania, hii ni miaka ya mtu ya uhuru...we're still in that way!
Najiuliza hivi hizo miundombinu za mkoloni zikiisha kabisa tutakuwaje...hebu angalia TAZARA walivyochonga, hivi sisi tumewahi kuchonga kama hivyo...sie kucopy and paste
Raha kweli kweli...na kweli maisha bora kwa kila mtanzania, hii ni miaka ya mtu ya uhuru...we're still in that way!
Najiuliza hivi hizo miundombinu za mkoloni zikiisha kabisa tutakuwaje...hebu angalia TAZARA walivyochonga, hivi sisi tumewahi kuchonga kama hivyo...sie kucopy and paste
Msijali, miaka thelathini na zaidi ya uhuru si kitu, lami itamwagwa ndani ya miaka miwili tu,ndani ya Mh. askari kasimama mlangoni.
Post a Comment