Sunday, February 06, 2011

Palestina wawasili kukipiga na Stars





Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Palestina wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere kabla ya kwenda katika Hoteli ya Transoma jijini Dar es Salaam.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...