Monday, February 21, 2011

NOMINEE WA KILI MUSIC AWARDS WATAJWA

Mratibu wa Tuzo za Kili 2011 kutoka Basata, Angello Luhala (kushoto) akipokea bahasha yenye majina ya nominees kutoka kwa Loyd Zhungu wa kampuni ya INNOVEX ambao wamepewa jukumu la kusimamia zoezi zima la uteuzi na upigaji kura za wasanii hao. Mpango mzima umefanyika leo katika ofisi za TBL.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...