Monday, February 21, 2011

NOMINEE WA KILI MUSIC AWARDS WATAJWA

Mratibu wa Tuzo za Kili 2011 kutoka Basata, Angello Luhala (kushoto) akipokea bahasha yenye majina ya nominees kutoka kwa Loyd Zhungu wa kampuni ya INNOVEX ambao wamepewa jukumu la kusimamia zoezi zima la uteuzi na upigaji kura za wasanii hao. Mpango mzima umefanyika leo katika ofisi za TBL.

No comments:

UWEKEZAJI USAFIRI KANDA YA ZIWA KUCHOCHEA UCHUMI, WAWEKEZAJI WAHIMIZWA KUTUMIA FURSA

  Na Baltazar Mashaka, Mwanza Serikali imesema uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa katika sekta ya usafiri na usafirishaji Kanda ya Ziwa...