Monday, February 21, 2011

NOMINEE WA KILI MUSIC AWARDS WATAJWA

Mratibu wa Tuzo za Kili 2011 kutoka Basata, Angello Luhala (kushoto) akipokea bahasha yenye majina ya nominees kutoka kwa Loyd Zhungu wa kampuni ya INNOVEX ambao wamepewa jukumu la kusimamia zoezi zima la uteuzi na upigaji kura za wasanii hao. Mpango mzima umefanyika leo katika ofisi za TBL.

No comments:

TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IRENA

📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali i...