Monday, February 21, 2011

NOMINEE WA KILI MUSIC AWARDS WATAJWA

Mratibu wa Tuzo za Kili 2011 kutoka Basata, Angello Luhala (kushoto) akipokea bahasha yenye majina ya nominees kutoka kwa Loyd Zhungu wa kampuni ya INNOVEX ambao wamepewa jukumu la kusimamia zoezi zima la uteuzi na upigaji kura za wasanii hao. Mpango mzima umefanyika leo katika ofisi za TBL.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...