Tuesday, November 16, 2010

Mbunge wetu Mary Mwanjelwa akiapa bungeni


Mbunge wa Viti Maalum, Mary Mwanjelwa akiapa, Bungeni Mjini Dodoma Novemba 13, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

2 comments:

Anonymous said...

Dah! haka katabia ka wizi sasa kanaharibu kabisa career aspirations. Sasa dada yetu anahitaji Msaada wa Kiroho (ambao kwa bahati mbaya haupatikani pale Mikocheni B Assemblies of 'God')

Anonymous said...

ulipendeza mdada,

MIRADI YA UCHUKUZI KUIFANYA KIGOMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI - PROF. MBARAWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza uwekezaji mkubwa katika sekta ya uchukuzi...