Sunday, November 21, 2010

Mzee Boziboziana mchawi wa Nzawisa ndani ya Bongo



Mwanamuziki kutoka nchini Congo, Bozoboziana (wa pili kushoto) akiwa ameambatana na Meneja wa Bendi ya African Stars Twanga Pepeta,Asha Baraka (wa pili kulia) walipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana.Boziboziana yupo nchini kwa mafunzo maalumu kwa bendi ya Twanga katika kujitayarisha na soko la kimataifa.Picha na Venance Nestory.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...