Sunday, November 21, 2010

Mzee Boziboziana mchawi wa Nzawisa ndani ya Bongo



Mwanamuziki kutoka nchini Congo, Bozoboziana (wa pili kushoto) akiwa ameambatana na Meneja wa Bendi ya African Stars Twanga Pepeta,Asha Baraka (wa pili kulia) walipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana.Boziboziana yupo nchini kwa mafunzo maalumu kwa bendi ya Twanga katika kujitayarisha na soko la kimataifa.Picha na Venance Nestory.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...