Sunday, November 21, 2010

Choo cha kwetu uswazi


Kwa wale wenzangu na mimi ambao ama wamewahi au wanaendelea kuishi katika vyumba vya kupanga katika maeneo yetu ya uswahilini, bila shaka wanazielewa ipasavyo adha wanazozipata na hususan pale unapowadia muda wa kwenda msalani.

Lakini kwa wale waliobahatika kuzaliwa katika familia zilizoneemeka hapa duniani, watakuwa hawanielewi ninapozungumzia adha ya vyoo vya uswahilini. Kwao vyoo ni vya kutumia maji ambayo husukuma uchafu kwa ustaarabu wa hali ya juu. Hakuna bughudha wala kinyaa chochote kwa watu hawa pindi waingiapo msalani. Hebu cheki choo hiki kilichopo karibu kabisa na katikati ya jiji Magomeni hapa halafu unambie.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Haya maisha wee acha tu!

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...