Wednesday, November 03, 2010

Rais wa awamu ya saba wa Zanzibar


Rais Jakaya Kikwete, akimpongeza Rais wa Mpya wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya kuapishwa kuwa rais wa saba wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Amani Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar awamu ya saba,Dk Ali Mohamed Shein, akiapa kuwa rais wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Aman Unguja jana, anayeshuduhua kushoto ni aliyekuwa rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume.

Rais wa Zanzibar awamu ya saba,Dk Ali Mohamed Shein, kiapa kuwa rais wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Aman Unguja jana, anayeshuduhua kushoto ni aliyekuwa rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...