Wednesday, November 03, 2010

Rais wa awamu ya saba wa Zanzibar


Rais Jakaya Kikwete, akimpongeza Rais wa Mpya wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya kuapishwa kuwa rais wa saba wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Amani Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar awamu ya saba,Dk Ali Mohamed Shein, akiapa kuwa rais wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Aman Unguja jana, anayeshuduhua kushoto ni aliyekuwa rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume.

Rais wa Zanzibar awamu ya saba,Dk Ali Mohamed Shein, kiapa kuwa rais wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Aman Unguja jana, anayeshuduhua kushoto ni aliyekuwa rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...