Wednesday, November 03, 2010

Rais wa awamu ya saba wa Zanzibar


Rais Jakaya Kikwete, akimpongeza Rais wa Mpya wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya kuapishwa kuwa rais wa saba wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Amani Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar awamu ya saba,Dk Ali Mohamed Shein, akiapa kuwa rais wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Aman Unguja jana, anayeshuduhua kushoto ni aliyekuwa rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume.

Rais wa Zanzibar awamu ya saba,Dk Ali Mohamed Shein, kiapa kuwa rais wa visiwa hivyo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Aman Unguja jana, anayeshuduhua kushoto ni aliyekuwa rais wa Zanzibar, Aman Abeid Karume.

No comments:

MIRADI YA UCHUKUZI KUIFANYA KIGOMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI - PROF. MBARAWA

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza uwekezaji mkubwa katika sekta ya uchukuzi...