Picha ya kwanza ni mto unaokatisha barabara ya kuunganisha kijiji cha Uwiro na Ngerenanyuki wilayani Arumeru ukiwa umejaa maji na hivyo kusababisha kero kubwa kwa wakazi wa kata ya Ngarenanyuki kutokana na kutokuwa na daraja kwa miaka mingi sasa. picha na Mussa Juma
Friday, November 28, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kiwanda cha Tansalt Tanga, Mwarobaini wa Soko la Madini ya Chumvi Nchini
☑️ Kiwanda kina uwezo wa kuzalisha tani 5 hadi 8 kwa saa. 📍 Tanga Kiwanda cha Tansalt kilichopo mkoani Tanga kimekuwa msaada mkubwa kwa w...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment