Friday, November 28, 2008

Barabara



Picha ya kwanza ni mto unaokatisha barabara ya kuunganisha kijiji cha Uwiro na Ngerenanyuki wilayani Arumeru ukiwa umejaa maji na hivyo kusababisha kero kubwa kwa wakazi wa kata ya Ngarenanyuki kutokana na kutokuwa na daraja kwa miaka mingi sasa. picha na Mussa Juma

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA AFRIKA KATIKA RAMANI MPYA YA UWEKEZAJI WA KIMATAIFA KUPITIA GAIS DUBAI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameshiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) jijini D...