Friday, November 28, 2008

Barabara



Picha ya kwanza ni mto unaokatisha barabara ya kuunganisha kijiji cha Uwiro na Ngerenanyuki wilayani Arumeru ukiwa umejaa maji na hivyo kusababisha kero kubwa kwa wakazi wa kata ya Ngarenanyuki kutokana na kutokuwa na daraja kwa miaka mingi sasa. picha na Mussa Juma

No comments:

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIANIA NA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameelekeza uongozi wa Mikoa yote nchini kuhakikisha jitih...