Sunday, November 02, 2008

Rais Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati alipokutana na mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza Bwana David Miliband(kushoto) and Waziri wa Mambo ya nje wa Ufaransa Bwana Bernard Kouchner ikulu jijini Dar es Salaam kujadili hali ya vita nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na juhudi za kimataifa kutatua mzozo huo.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijadili jambo na Mawaziri wa Mambo ya nje wa Uingereza David Miliband(kushoto) na Bernard Kouchner(katikati) wakati mawaziri hao walipomtembelea Rais Kikwete ikulu jijini Dar es salaam leo asubuhi na kujadili hali ya mapigano Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo(DRC)

No comments:

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIANIA NA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameelekeza uongozi wa Mikoa yote nchini kuhakikisha jitih...