Monday, November 17, 2008

Msimu wa Machungwa


Mfanyabiashara katika eneo la mnada wa Sabasaba Manispaa ya Morogoro akipanga machungwa chini ya ardhi huku akipingana na utaratibu wa kutofanya biashara ya matunda katika mnada huo. machungwa hayo alikuwa akiuza kwa fungu sh 300. (Picha na Juma Ahmadi, MSJ).

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...