Monday, November 17, 2008

Msimu wa Machungwa


Mfanyabiashara katika eneo la mnada wa Sabasaba Manispaa ya Morogoro akipanga machungwa chini ya ardhi huku akipingana na utaratibu wa kutofanya biashara ya matunda katika mnada huo. machungwa hayo alikuwa akiuza kwa fungu sh 300. (Picha na Juma Ahmadi, MSJ).

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...