Monday, November 17, 2008

Msimu wa Machungwa


Mfanyabiashara katika eneo la mnada wa Sabasaba Manispaa ya Morogoro akipanga machungwa chini ya ardhi huku akipingana na utaratibu wa kutofanya biashara ya matunda katika mnada huo. machungwa hayo alikuwa akiuza kwa fungu sh 300. (Picha na Juma Ahmadi, MSJ).

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...