Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
1 comment:
Charahani,
suala la mgomo wa walimu ni doa kubwa sana katika utawala wetu. Ni doa kubwa kwa kuwa walimu hawapewi umuhimu na tawala zetu.
Ni lazima tukiri, kuna mapungufu makubwa katika mfumo wetu wa uongozi.
Kama ndani ya wiki moja, inatokea migomo miwili mikubwa inayogusa wizara moja, lazima tujiulize mara mbili. Lazima tuubaini walakini katika kadhia hii.
Tunajisahau na kujivika kiburi na kuidharau sekta ya elimu.
Kama walimu wanafikia hatua hii. Watendaji wapo wapi?
Wao ndo wanaotakiwa kushushwa vyeo, na wala siyo walimu.
Tuamke sasa.
Post a Comment