Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUTABORESHA BAJETI YA ELIMU – WAZIRI MKUU
▪️Asema Serikali itaimarisha vitengo vya tathmini na ufuatiliaji kila wizara Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea ku...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
1 comment:
Charahani,
suala la mgomo wa walimu ni doa kubwa sana katika utawala wetu. Ni doa kubwa kwa kuwa walimu hawapewi umuhimu na tawala zetu.
Ni lazima tukiri, kuna mapungufu makubwa katika mfumo wetu wa uongozi.
Kama ndani ya wiki moja, inatokea migomo miwili mikubwa inayogusa wizara moja, lazima tujiulize mara mbili. Lazima tuubaini walakini katika kadhia hii.
Tunajisahau na kujivika kiburi na kuidharau sekta ya elimu.
Kama walimu wanafikia hatua hii. Watendaji wapo wapi?
Wao ndo wanaotakiwa kushushwa vyeo, na wala siyo walimu.
Tuamke sasa.
Post a Comment