Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Charahani,
suala la mgomo wa walimu ni doa kubwa sana katika utawala wetu. Ni doa kubwa kwa kuwa walimu hawapewi umuhimu na tawala zetu.
Ni lazima tukiri, kuna mapungufu makubwa katika mfumo wetu wa uongozi.
Kama ndani ya wiki moja, inatokea migomo miwili mikubwa inayogusa wizara moja, lazima tujiulize mara mbili. Lazima tuubaini walakini katika kadhia hii.
Tunajisahau na kujivika kiburi na kuidharau sekta ya elimu.
Kama walimu wanafikia hatua hii. Watendaji wapo wapi?
Wao ndo wanaotakiwa kushushwa vyeo, na wala siyo walimu.
Tuamke sasa.
Post a Comment