Tuesday, August 12, 2008

Watoto shuleni


Maisha ya skuli si mchezo kuna milima na mabonde, kuna miteremko vile vile hebu cheki hivi vijamaa vimejificha sijui vinaogopa nini, bila shaka vimetoroka kabla ya kuruhusiwa na mwalimu

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

labda hawajafanya homework na wanaogopa viboko si unajua tena.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...