

Baadhi ya wasanii wa kikundi cha sanaa za maonyesho cha Umoja kutoka Afrika Kusini, wakicheza wakati wa hafla ya kubadilisha jina la kibiashara la Celtel kuwa Zain kwenye Uwanja wa Karimjee, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
📌 Yanahusu usanifu, utengenezaji, ufungaji mifumo ya Nishati Jua na matumizi yake 📌 Asema mafunzo yanalenga kuendeleza matumizi ya nishat...
1 comment:
Mbona wanacheza huku matiti nje nje na viguo vifupi, hivi ndo utamaduni wao au kundi lao halihusiani na ngoma za asili? Anaejua anitonye.
Post a Comment