Thursday, September 27, 2007

Futari



Ni jioni mwanana wakati Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Green, alipotembelea kijijini Misugusugu, Kibaha pamoja na kituo cha kulea watoto yatima cha Mwinyibaraka, ambacho ni sehemu ya Taasisi ya Kiislamu ya Mwinyibaraka, na kuungana na viongozi na wakazi wa eneo hilo katika ibada ya kufuturu iliyokuwa imeandaliwa na taasisi hiyo.

2 comments:

Anonymous said...

JE HAO WAISLAMU WANAPOFUTURU NA BALOZI WA MAREKANI WANAELEWA KUWA WAISLAMU WENZAO WAMEFUNGWA NA MAREKANI HUKO GUANTANAMO KINYUME CHA SHERIA ZA MAREKANI NA ZA KIMATAIFA? HAWANA HAKI YA KUFIKISHWA MAHAKAMANI WALA YA KUJITETEA !! WAKATI WANAMEZA HIYO MINOFU YA MAREKANI WALIPASWA WAMUELEZE BALOZI UKWELI !!

Haya CIA kazi kwenu kuchunguza nani katundika maoni haya

Anonymous said...

aaahhhh wala usiogope CIA wala nini huo ndo ukweli waislamu hawa wa misugusugu masikini nadhani hawakujua wanachokifanya ni hatari sana kushangilia nduguyo kuteswa na adui.

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...