Tuesday, September 18, 2007

Mama akivuna mwani



Mwanamama wa Bwagamoyo akivuna zao la mwani maarufu na lenye matumizi mengi kote dunia ingawa hapa nchi kwetu bado halijapata msukumo.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: MUUNGANO UENDELEE KUWA CHACHU YA UKUAJI WA UCHUMI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa ushirikiano uliopo kati ya Serikali ya Map...