Tuesday, September 11, 2007

Watoto



Hivi ni ajira kwao au ni kazi kama za nyumbani hivi, au ni wanacheza sijui hebu nambie ndugu msomaji, lakini hivi ndivyo mpigapicha wetu Hassan Mndeme alivyowakuta watoto hawa wakifanya kazi zao huko kijiji cha Komtonga, wilayani Mvomero, Morogoro.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...