Tuesday, September 11, 2007

Watoto



Hivi ni ajira kwao au ni kazi kama za nyumbani hivi, au ni wanacheza sijui hebu nambie ndugu msomaji, lakini hivi ndivyo mpigapicha wetu Hassan Mndeme alivyowakuta watoto hawa wakifanya kazi zao huko kijiji cha Komtonga, wilayani Mvomero, Morogoro.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...