Thursday, September 20, 2007

Daraja la kutoka kwetu Mtwara kwenda Msumbiji

Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa daraja la Umoja katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji, daraja ambalo linategemewa kuwa kiungo kwa Tanzania na nchi za kusini mwa Afrika. Picha na Mwanakombo Jumaa, Maelezo.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...