Thursday, September 20, 2007

Daraja la kutoka kwetu Mtwara kwenda Msumbiji

Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa daraja la Umoja katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji, daraja ambalo linategemewa kuwa kiungo kwa Tanzania na nchi za kusini mwa Afrika. Picha na Mwanakombo Jumaa, Maelezo.

No comments:

USIPIME KIWANJA UACHE PORI! DODOMA YAWAVAA WAMILIKI WALIOLEGEZA

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema itafuta umiliki wa viwanja vyote ambavyo havijaendelezwa ndani ya muda uliowekwa kisheria, na kuvitwa...