Thursday, September 20, 2007

Daraja la kutoka kwetu Mtwara kwenda Msumbiji

Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa daraja la Umoja katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji, daraja ambalo linategemewa kuwa kiungo kwa Tanzania na nchi za kusini mwa Afrika. Picha na Mwanakombo Jumaa, Maelezo.

No comments:

USSI-WAFUGAJI WACHANGAMKIE FURSA YA SOKO MACHINJIO YA KISASA VIGWAZA

Mwamvua Mwinyi, Chalinze, April 10,2025 Wafugaji wa mifugo mbalimbali ,wametakiwa kuchangamkia fursa ya soko la ndani na nje ya nchi kupitia...