Thursday, September 20, 2007

Makao makuu ya kijiji kwetu Mlingotini



Nadhani bila shaka una fununu na au taarifa mbalimbali zinazohusu kijiji chetu hiki, hebu kicheki hapa ni katikati ya mji wa Mlingotini, kijiji chetu hiki kina tarafa sita. Mlingoti wenyewe sikuuona wenyeji walinieleza kuwa ulishatokomea muda mrefu, upo hapo.

No comments:

TARURA YAIMARISHA MIKAKATI YA KUBORESHA BARABARA ZA WILAYA KIPINDI CHA MVUA

  Dar es Salaam Mameneja wa Mikoa wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kulinda usalama wa watumiaji wa barabara...