Thursday, September 20, 2007

Makao makuu ya kijiji kwetu Mlingotini



Nadhani bila shaka una fununu na au taarifa mbalimbali zinazohusu kijiji chetu hiki, hebu kicheki hapa ni katikati ya mji wa Mlingotini, kijiji chetu hiki kina tarafa sita. Mlingoti wenyewe sikuuona wenyeji walinieleza kuwa ulishatokomea muda mrefu, upo hapo.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...