Thursday, September 20, 2007

Makao makuu ya kijiji kwetu Mlingotini



Nadhani bila shaka una fununu na au taarifa mbalimbali zinazohusu kijiji chetu hiki, hebu kicheki hapa ni katikati ya mji wa Mlingotini, kijiji chetu hiki kina tarafa sita. Mlingoti wenyewe sikuuona wenyeji walinieleza kuwa ulishatokomea muda mrefu, upo hapo.

No comments:

RC CHALAMILA ATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI MKOANI DAR ES SALAAM

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam,Albert Chalamila ametembelea miradi mbalimbali ya maendeleo iliyopo Wilaya ya Ubungo nakutoa maagizo ikiwa ni ...