Thursday, September 20, 2007

Makao makuu ya kijiji kwetu Mlingotini



Nadhani bila shaka una fununu na au taarifa mbalimbali zinazohusu kijiji chetu hiki, hebu kicheki hapa ni katikati ya mji wa Mlingotini, kijiji chetu hiki kina tarafa sita. Mlingoti wenyewe sikuuona wenyeji walinieleza kuwa ulishatokomea muda mrefu, upo hapo.

No comments:

WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE)

  Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Ridhiwani J. Kikwete,...