Monday, September 10, 2007

Hongera Mrocky Mrocky kwa kupata jiko

Father Kidevu, kidevu chako kiko wapi siku hizi. Mpiga picha mahiri wa magazeti ya Habari Leo na Daily News na pia mwanablogu, Mroki Mroki, amefunga pingu za maisha. Kila la kheri kaka maisha haya ya ndoa ni namna unavyoyacheza tu ni bomba mnoooooo hongeraaaaaaa!!!!!!!

1 comment:

Miriam said...

He Mroki lini tena hii ndugu yangu hatuambiani? Haya hongereni sana...Miriam.

KAMISHNA BADRU ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA NA KUPONGEZA JITIHADA ZA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI.

Na Hamis Dambaya, DSM. Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Abdul-Razaq Badru ametembelea maonesho ya 49 ya...