Monday, September 10, 2007

Hongera Mrocky Mrocky kwa kupata jiko

Father Kidevu, kidevu chako kiko wapi siku hizi. Mpiga picha mahiri wa magazeti ya Habari Leo na Daily News na pia mwanablogu, Mroki Mroki, amefunga pingu za maisha. Kila la kheri kaka maisha haya ya ndoa ni namna unavyoyacheza tu ni bomba mnoooooo hongeraaaaaaa!!!!!!!

1 comment:

Miriam said...

He Mroki lini tena hii ndugu yangu hatuambiani? Haya hongereni sana...Miriam.

TARURA YAIMARISHA MIKAKATI YA KUBORESHA BARABARA ZA WILAYA KIPINDI CHA MVUA

  Dar es Salaam Mameneja wa Mikoa wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kulinda usalama wa watumiaji wa barabara...