Monday, September 10, 2007

Hongera Mrocky Mrocky kwa kupata jiko

Father Kidevu, kidevu chako kiko wapi siku hizi. Mpiga picha mahiri wa magazeti ya Habari Leo na Daily News na pia mwanablogu, Mroki Mroki, amefunga pingu za maisha. Kila la kheri kaka maisha haya ya ndoa ni namna unavyoyacheza tu ni bomba mnoooooo hongeraaaaaaa!!!!!!!

1 comment:

Miriam said...

He Mroki lini tena hii ndugu yangu hatuambiani? Haya hongereni sana...Miriam.

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA TRA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya M...