Father Kidevu, kidevu chako kiko wapi siku hizi. Mpiga picha mahiri wa magazeti ya Habari Leo na Daily News na pia mwanablogu, Mroki Mroki, amefunga pingu za maisha. Kila la kheri kaka maisha haya ya ndoa ni namna unavyoyacheza tu ni bomba mnoooooo hongeraaaaaaa!!!!!!!
Monday, September 10, 2007
Hongera Mrocky Mrocky kwa kupata jiko
Father Kidevu, kidevu chako kiko wapi siku hizi. Mpiga picha mahiri wa magazeti ya Habari Leo na Daily News na pia mwanablogu, Mroki Mroki, amefunga pingu za maisha. Kila la kheri kaka maisha haya ya ndoa ni namna unavyoyacheza tu ni bomba mnoooooo hongeraaaaaaa!!!!!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Ag...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
1 comment:
He Mroki lini tena hii ndugu yangu hatuambiani? Haya hongereni sana...Miriam.
Post a Comment